AFISA MISITU DARAJA LA II (FORESTRY OFFICER GRADE II)- - 4 POST


Employer: MDAs & LGAs
Date Published: 2016-05-11
Application Deadline: 2016-05-25


JOB SUMMARY:
N/A

DUTIES AND RESPONSIBILITIES:
•    Kusimamia upandaji na uhudumiaji wa miti na misitu.
•    Kusimamia uendelezaji wa misitu ya kupandwa isiyozidi hekta 5,000 au ya asili isiyozidi hekta 10,000.
•    Kufanya utafiti wa misitu.
•    Kutekeleza Sera na Sheria za misitu.
•    Kuendesha mafunzo ya Wasaidizi Misitu.
•    Kukusanya takwimu za misitu.
•    Kufanya ukaguzi wa misitu.
•    Kupanga na kupima madaraja ya mbao.
•    Kudhibiti leseni na uvunaji wa miti.
•    Kutoa ushauri na mafunzo kwa wananchi juu ya uendelezaji na matumizi endelevu ya miti kwa wananchi.
•    Kufanya ukadiriaji wa rasilimali za misitu.
•    Kupima maeneo na kuchora ramani za misitu.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE:
•    Kuajiriwa wenye Shahada ya Misitu kutoka chuo Kikuu cha kilimo cha Sokoine au Vyuo Vikuu vingine vinavyotambuliwa na Serikali.

REMUNERATION: Salary Scale TGS.D 

Comments