Top Jobs that others viewed
AFISA MISITU DARAJA LA II (FORESTRY OFFICER GRADE II)- - 4 POST
Employer: MDAs & LGAs Date Published: 2016-05-11 Application Deadline: 2016-05-25 JOB SUMMARY: N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES: • Kusimamia upandaji na uhudumiaji wa miti na misitu. • Kusimamia uendelezaji wa misitu ya kupandwa isiyozidi hekta 5,000 au ya asili isiyozidi hekta 10,000. • Kufanya utafiti wa misitu. • Kutekeleza Sera na Sheria za misitu. • Kuendesha mafunzo ya Wasaidizi Misitu. • Kukusanya takwimu za misitu. • Kufanya ukaguzi wa misitu. • Kupanga na kupima madaraja ya mbao. • Kudhibiti leseni na uvunaji wa miti. • Kutoa ushauri na mafunzo kwa wananchi juu ya uendelezaji na matumizi endelevu ya miti kwa wananchi. • Kufanya ukadiriaji wa rasilimali za misitu. • Kupima maeneo na kuchora ramani za misitu. QUALIFICATION AND EXPERIENCE: • Kua...
AFISA UFUGAJI NYUKI DARAJA LA II (BEEKEEPING OFFICER II) - 5 POST
Employer: MDAs & LGAs Date Published: 2016-05-11 Application Deadline: 2016-05-25 JOB SUMMARY: N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES: • Kusimamia uanzishaji wa hifadhi za nyuki na manzuki. • Kutangaza Sera na Sheria za ufugaji nyuki. • Kufundisha masomo ya fani ya ufugaji nyuki. • Kukusanya takwimu za rasilimali na ufugaji nyuki. • Kupanga na kupima ubora wa mazao ya nyuki. QUALIFICATION AND EXPERIENCE: • Kuajiriwa wenye Shahada katika fani ya Ufugaji Nyuki au Sayansi ya Elimu ya Mimea, Elimu ya Wadudu au Elimu ya Wanyama kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali. REMUNERATION: Salary Scale TGS.D APPLY


Comments
Post a Comment