Employer: MDAs & LGAs Date Published: 2016-05-11 Application Deadline: 2016-05-25 JOB SUMMARY: N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES: • Kusimamia upandaji na uhudumiaji wa miti na misitu. • Kusimamia uendelezaji wa misitu ya kupandwa isiyozidi hekta 5,000 au ya asili isiyozidi hekta 10,000. • Kufanya utafiti wa misitu. • Kutekeleza Sera na Sheria za misitu. • Kuendesha mafunzo ya Wasaidizi Misitu. • Kukusanya takwimu za misitu. • Kufanya ukaguzi wa misitu. • Kupanga na kupima madaraja ya mbao. • Kudhibiti leseni na uvunaji wa miti. • Kutoa ushauri na mafunzo kwa wananchi juu ya uendelezaji na matumizi endelevu ya miti kwa wananchi. • Kufanya ukadiriaji wa rasilimali za misitu. • Kupima maeneo na kuchora ramani za misitu. QUALIFICATION AND EXPERIENCE: • Kua...
Employer: MDAs & LGAs Date Published: 2016-05-11 Application Deadline: 2016-05-25 JOB SUMMARY: N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES: • Kwa kushirikiana na Afisa Mifugo Msaidizi, atafanya uchunguzi wa magonjwa ya mifugo katika eneo lake. • Atakusanya sampuli kwa ajili ya uchunguzi wa maabara. • Kuwasaidia wataalam kuanda vifaa vya uchunguzi • Kutunza Usafi wa Maabara na vyombo vilivyomo. • Kutunza takwimu za uchunguzi • Atafanya kazi zingine zozote kama atavyopangiwa na mkubwa wake wa kazi QUALIFICATION AND EXPERIENCE: • Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha sita (VI) waliofuzu mafunzo ya miaka miwili (2) ya Stashahada katika fani ya Fundi Sanifu Maabara (Mifugo) kutoka Chuo cha Mifugo (LITI), au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. REMUNERATION: Salary Scale TGS.C APPLY Tazama ajira zingine
Comments
Post a Comment