AFISA UFUGAJI NYUKI DARAJA LA II (BEEKEEPING OFFICER II) - 5 POST


Employer: MDAs & LGAs
Date Published: 2016-05-11
Application Deadline: 2016-05-25


JOB SUMMARY:
N/A

DUTIES AND RESPONSIBILITIES:
•    Kusimamia uanzishaji wa hifadhi za nyuki na manzuki.
•    Kutangaza Sera na Sheria za ufugaji nyuki.
•    Kufundisha masomo ya fani ya ufugaji nyuki.
•    Kukusanya takwimu za rasilimali na ufugaji nyuki.
•    Kupanga na kupima ubora wa mazao ya nyuki.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE:
•    Kuajiriwa wenye Shahada katika fani ya Ufugaji Nyuki au Sayansi ya Elimu ya Mimea, Elimu ya Wadudu au Elimu ya Wanyama kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.

REMUNERATION: Salary Scale TGS.D 

Comments

Top Jobs that others viewed

Job: Extension Officers needed (5 Posts)