MFUGAJI NYUKI MSAIDIZI DARAJI LA II- - 5 POST


Employer: MDAs & LGAs
Date Published: 2016-05-11
Application Deadline: 2016-05-25


JOB SUMMARY:
N/A

DUTIES AND RESPONSIBILITIES:
•    Kusimamia manzuki.
•    Kutunza hifadhi za nyuki.
•    Kukusanya takwimu za ufugaji nyuki.
•    Kutunza kumbukumbu za kazi za utafiti.
•    Kuondoa nyuki wanaodhuru binadamu na mifugo.
•    Kutoa leseni za biashara ya mazao ya nyuki.
•    Kutoa ushauri wa kitaalam kwa wananchi juu ya ufugaji endelevu wa nyuki na matumizi bora ya mazao ya nyuki.
•    Kutunza makundi ya nyuki wanaouma na wasiouma.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE:
•    Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne au Sita wenye Astashahada (Cheti) au Stashahada (Diploma) ya Ufugaji Nyuki kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

REMUNERATION: Salary Scale TGS.C 

Comments

Top Jobs that others viewed

NAFASI YA KAZI: Meneja wa Shamba

FUNDI SANIFU MAABARA MIFUGO DARAJA LA II (VETERINARY LABORATORY TECHNICIAN II)- - 5 POST