Bodi ya Ushirika wa Wakulima Wadogowadogo wa Kilimo cha Umwagiliaji mpunga Dakawa Ltd inatangaza nafasi ya ajira ya Meneja wa shamba katika mashamba 10 ya mpunga Dakawa. Majukumu ya meneja wa shamba (Farm Manager) 1. Kusimamia shughuli zote za uzalishaji katika msimu kwa kuzingatia kalenda 2. Kuandaa kalenda ya umwagiliaji (Irrigation scheduling) kwa kila msimu 3. Kuhakikisha wakulima wanapanda mazao yaliyoidhinishwa msimu husika 4. Kuratibu shughuli za umwagilioji katika skimu 5. Kuandaa mpango kazi na kusimamia ukarabati wa miundombinu ya umwogiliji katika skimu 6. Kuandaa na kusimamia matumizi bora ya zana za kilimo 7. Kuhakiki na kusimamia matumizi ya mbolea na viuatilifu 8. Kusimamia na Kuratibu maswala ya mazingira katika skimu 9. Kuandaa ripoti ya mwezi, robo, nusu, robo tatu mwaka na mwaka mzima 10. Kuandika no kutunza kumbukumbu za vikao vya bodi (Atakuwa katibu wa Bodi) 11. Kushirikiana na Bodi katika kuandaa mipanga ya maendeleo ya muda mfupi na ya muda mrefu 12. Kuandaa ta...
Employer: MDAs & LGAs Date Published: 2016-05-11 Application Deadline: 2016-05-25 JOB SUMMARY: N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES: • Kusimamia upandaji na uhudumiaji wa miti na misitu. • Kusimamia uendelezaji wa misitu ya kupandwa isiyozidi hekta 5,000 au ya asili isiyozidi hekta 10,000. • Kufanya utafiti wa misitu. • Kutekeleza Sera na Sheria za misitu. • Kuendesha mafunzo ya Wasaidizi Misitu. • Kukusanya takwimu za misitu. • Kufanya ukaguzi wa misitu. • Kupanga na kupima madaraja ya mbao. • Kudhibiti leseni na uvunaji wa miti. • Kutoa ushauri na mafunzo kwa wananchi juu ya uendelezaji na matumizi endelevu ya miti kwa wananchi. • Kufanya ukadiriaji wa rasilimali za misitu. • Kupima maeneo na kuchora ramani za misitu. QUALIFICATION AND EXPERIENCE: • Kua...
Comments
Post a Comment