Employer: MDAs & LGAs Date Published: 2016-05-11 Application Deadline: 2016-05-25 JOB SUMMARY: N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES: • Kusimamia uanzishaji wa hifadhi za nyuki na manzuki. • Kutangaza Sera na Sheria za ufugaji nyuki. • Kufundisha masomo ya fani ya ufugaji nyuki. • Kukusanya takwimu za rasilimali na ufugaji nyuki. • Kupanga na kupima ubora wa mazao ya nyuki. QUALIFICATION AND EXPERIENCE: • Kuajiriwa wenye Shahada katika fani ya Ufugaji Nyuki au Sayansi ya Elimu ya Mimea, Elimu ya Wadudu au Elimu ya Wanyama kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali. REMUNERATION: Salary Scale TGS.D APPLY
Bodi ya Ushirika wa Wakulima Wadogowadogo wa Kilimo cha Umwagiliaji mpunga Dakawa Ltd inatangaza nafasi ya ajira ya Meneja wa shamba katika mashamba 10 ya mpunga Dakawa. Majukumu ya meneja wa shamba (Farm Manager) 1. Kusimamia shughuli zote za uzalishaji katika msimu kwa kuzingatia kalenda 2. Kuandaa kalenda ya umwagiliaji (Irrigation scheduling) kwa kila msimu 3. Kuhakikisha wakulima wanapanda mazao yaliyoidhinishwa msimu husika 4. Kuratibu shughuli za umwagilioji katika skimu 5. Kuandaa mpango kazi na kusimamia ukarabati wa miundombinu ya umwogiliji katika skimu 6. Kuandaa na kusimamia matumizi bora ya zana za kilimo 7. Kuhakiki na kusimamia matumizi ya mbolea na viuatilifu 8. Kusimamia na Kuratibu maswala ya mazingira katika skimu 9. Kuandaa ripoti ya mwezi, robo, nusu, robo tatu mwaka na mwaka mzima 10. Kuandika no kutunza kumbukumbu za vikao vya bodi (Atakuwa katibu wa Bodi) 11. Kushirikiana na Bodi katika kuandaa mipanga ya maendeleo ya muda mfupi na ya muda mrefu 12. Kuandaa ta...
Comments
Post a Comment